Wednesday, October 16, 2013

Mwenyekiti Wa Mtaa Wa Kivule Akigagua Soko la Kivule Linalojengwa

Kivule sasa kua na soko ambalo litasaidia wananchi wa mtaa huo wakivule kutoenda mbali kutafuta bidha mbalimbali, kwa mda mrefu wanainchi wa mtaa wa Kivule wamekua wakitumia ghalama kubwa kwenda Buguruni, Kariakoo, Temeke, Tandale kutafuta bidha kwakosa soko. Sasa uongozi wa mtaa huo kwakushilikiana na wana nchi waka wamedhamiria kujenga soko lao, ambalo wafanya biashara watakua wanalitumia.  kama muvona ujenzi wasoko hilo ukiendelea,

Mwenyekiti  Wa Mtaa huo J.B. Gassaya (mwenye khofia na fimbo) akiwa akikagua kazi ya ujenzi wa soko hilo. 
    Mwenyekiti wa soko

No comments:

Post a Comment